Wakati
zikiwa zimebaki siku 29 kuelekea uchaguzi mkuu, kampeni za mgombea
urais wa chama cha ACT-Wazalendo, Anna Mghwira zinakabiliwa na uhaba wa
fedha ambazo sasa zimebaki Sh. milioni mbili tu.
Tangu
mgombea huyo alipozindua kampeni zake Agosti 30, mwaka huu hadi sasa,
chama hicho kimeshatumia Sh. milioni 363 ambazo ni wastani wa takribani
Sh. milioni 15 kwa siku.
Lakini kutokana na ukata unaokikabili, kwa sasa kinalazimika kutumia Sh. 66,667 kwa siku.
Mwenyekiti
wa Kamati ya Uchaguzi na Kampeni Taifa wa ACT-Wazalendo, Nixon Tugara,
juzi aliwaambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuwa, kutokana
na changamoto wanayokabiliana nayo ya uhaba wa fedha anatoa wito kwa
Watanzania popote walipo kuchangia kampeni za chama hicho.
“Mtu
anaweza kutoa kiasi chochote na tutashukuru sana kwa ushirikiano wa
kuijenga Tanzania yenye misingi ya haki...chama chetu kinakabiliwa na
wakati mgumu kifedha, tumekuwa tukijitahidi kuzunguka sana kutafuta
fedha kwa marafiki zetu na kuchangishana miongoni mwa wanachama lakini
hatujafikia lengo letu la kiwango tunachohitaji cha fedha za kufanya
kampeni bora”
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Post a Comment