Watu zaidi ya 453 waliokuwa
wakishiriki sherehe za hija wamefariki kwenye mkanyagano uliotokea
karibu na mji mtakatifu wa Kiislamu wa Mecca, maafisa nchini Saudi
Arabia wamesema.
Idara ya ulinzi wa raia nchini humo imesema
kupitia Twitter kwamba watu wengine 719 wamejeruhiwa katika kisa hicho
kilichotokea mji wa Mina, takriban kilomita tano kutoka mji wa Mecca.
Shughuli za uokoaji zinaendelea, idara hiyo imeongeza.
Mkanyagano huo umetokea siku ya kwanza ya sherehe za Eid al-Adha.
Idara
ya ulinzi wa raia Saudi Arabia imesema maafisa 4,000 wametumwa eneo
hilo kusaidia pamoja na wahudumu 200 wa huduma za dharura.
Maafisa wa Saudi Arabia wamesema shughuli za uokoaji bado zinaendelea
Maafa hayo yalitokea mahujaji takriban milioni mbili walipokuwa
wakishiriki moja ya kaida muhimu za mwisho katika ibada za hija.
Maandalizi
ya ibada hizo za hija yalikuwa yamekumbwa na mkasa baada ya kreni
kuanguka katika msikiti mkuu wa Mecca mwezi huu na kuua watu 109.
Hii si mara ya kwanza kwa mikasa kutokea wakati wa hija.
Mikasa mingine iliyotokea wakati wa kuhiji:
2006: Mahujaji 364 walifariki wakati wa kurushia mawe mnara unaoashiria shetani
1997: Mahujaji 343 walifariki na 1,500 kujeruhiwa kwenye mkasa wa moto
1994: 270 waliuawa katika mkanyagano
1990: Mahujaji 1,426 waliuawa katika mkanyagano njia za kupitia chini za kuelekea maeneo matakatifu
1987: Watu 400 walifariki maafisa wa serikali walipokabiliana na waandamanaji waliounga mkono Iran
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
HABARI
on Thursday, 24 September 2015
Post a Comment