Serikali
jijini Dar es Salaam imeagiza baa zote zinazouza pombe mpaka asubuhi
kusitisha shughuli hiyo mkesha wa siku ya uchaguzi ili kuimarisha
usalama Jumapili ijayo.
Aidha,
imesisitiza kwamba kila mwananchi atakayekwenda kupiga kura ahakikishe
anarudi nyumbani baada ya shughuli hiyo badala ya kukaa katika vikundi
kusubiri matokeo vituoni.
Agizo
hilo lilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki,
katika ibada maalum ya kuliombea Taifa amani na mvua, iliyoendeshwa na
Askofu Charles Gadi wa Kanisa la Huduma ya Good News for All Ministry,
jijini Dar es Salaam jana.
Askofu
Gadi katika maombi yake alisisitiza suala la amani na kumuomba Mwenyezi
Mungu alete mvua ili mabwawa yanayozalisha umeme yajae maji nishati ya
umeme ipatikane nchini kwa uhakika.
~Mpekuzi blog
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
HABARI
on Thursday, 22 October 2015
Post a Comment