Featured

Loading...


Dr. Magufuli Tayari Keshapiga Kura, Chato......Kasema Matone ya Mvua Yamemnyeshea na Hiyo ni Ishara Kwamba Atashinda


Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Magufuli amepiga kura katika jimbo la Chato mapema asubuhi hii na kueleza kuwa amepata dalili nzuri alipofika kwenye kituo hicho cha kupigia kura.

Akiongea na waandishi wa habari baada ya kupiga kura, Dkt. Magufuli alieleza kuna dalili nzuri za ushindi kwa upande wake hasa baada ya matone ya mvua kuanza kudondoka punde alipofika kwenye kituo hicho.

Hata hivyo, Dkt. Magufuli hakutoa maelezo kuhusu matarajio yake na maoni yake kuhusu mchakato mzima wa kampeni pamoja na kutoeleza atayapokeaje matokeo ya aina yoyote.
Alito jibu la ufupi linaloashiria kuwa, “nitaeleza baada ya kuapishwa.”

Dkt. Magufuli aliwahimiza watanzania kuendelea kujitokeza kwa wingi kumchagua kiongozi wanaemtaka kwa ngazi zote za urais, ubunge na udiwani na kumtanguliza Mungu katika uamuzi wao.

“Mimi nimetimiza wajibu wagu kama raia, na nawashauri wenzangu wajihimu wakapige kura kwa kuwa hilo ndilo jukumu letu, wawachague marais, wabunge na madiwani.”


Aidha, Dkt. Magufuli alieleza kuridhishwa na mazingira ya zoezi la kupiga kura katika kituo hicho.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top