Mahakama Kuu Dar leo imetupilia mbali shauri la tafsiri ya sheria ya
mpigakura kukaa au kutokaa umbali wa mitaa 200 kutoka eneo la kupiga
kura.
Kwa mujibu wa majaji waliotoa maamuzi hayo wamesema kuwa, kwa kuwa
mikutano ilishakatazwa kuwepo siku ya uchaguzi, hivyo hakuna mkutano,
mkusanyiko au vikundi vyovyote vitakavyoruhisiwa siku hiyo na kufanya
hivyo ni kuvunja sheria.
Pia wameeleza kuwa siku ya uchaguzi mtu yeyote atakayevaa sare ya chama chochote naye atakuwa amevunja sheria.
Kwa upande wa wakili wa utetezi, Peter Kibatala amesema ameyapokea
maamuzi hayo lakini atakata rufaa juu ya shauri hilo kwa manufaa ya
chaguzi nyingine zijazo.
Hapa chini Nimeambatanisha Nakala za Mahakama. Bonyeza Picha moja moja kuikuza ili uisome vizuri
~Mpekuzi blog
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
SIASA
on Friday, 23 October 2015
Post a Comment