Mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa amesema amejiandaa na yupo tayari kuwaongoza Watanzania akiwa rais wa awamu ya tano.
Akizungumza
kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe- Mbeya Mjini, Lowassa alisema:
“Ninatosha, nitumeni kwa kura zenu… nipeni kura za kutosha niwatumikie.”
Lowassa
ambaye alisema anasikia deko kutokana na wingi wa watu, alisema
misamaha ya kodi kwa sasa ni Sh1.6 trilioni na kwamba atahitaji Sh1.3
trilioni kati ya hizo kwa ajili ya elimu itakayolipiwa na serikali
kuanzia chekechea hadi chuo kikuu.
Pia, aliendelea kuwasisitizia wananchi, umuhimu wa kulinda kura zao baada ya kupiga hadi kitakapoeleweka.
“Wana
Mbeya, kuna rafiki yangu aliniambia umeshinda, mwingine akasema huwezi
kushinda kwa sababu wataiba kura. Mimi nasema nipeni kura nyingi hata
wakiiba zitoshe, kaeni kituoni mpaka kieleweke, huu ni mwaka wa kuitoa
CCM madarakani,” alisema Lowassa.
Lowassa
aliueleza umma huo, kwamba kuna watu wanapita mitaani kutoa rushwa na
kununua shahada za kura, lakini wasiwe na hofu nao.
“Wakikupa
hizo hela, kula, akikupa laki tano, mwambie akupe milioni moja,
akishakupa na akaendelea kukusumbua, mwambie asikusumbue hizo ni pesa za
Lowassa.
“Mimi
nataka mnitume nikawafanyie kazi, sina mchezo, nitaunda Serikali
itakayofanya kazi kwa spidi ya 120 kwa saa,” alisema Lowassa.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
SIASA
on Monday, 19 October 2015
Post a Comment