Featured

Loading...


Bomu lililokuwa limetegwa lapatikana kanisani Kenya wakati wa ibada

post-feature-image
Waumini katika kanisa moja nchini Kenya wanakila sababu ya kumshukuru mola wao baada ya bomu iliyokuwa imetegwa ndani ya kanisa kupatikana wakati wa ibada.

Waumini hao wa kanisa katoliki la Kutus lililoko eneo la katikati ya nchi walitoroka kanisani baada ya muumini mmoja kuona kifaa kilichokuwa kimefichwa chini ya viti alipokuwa akitoa sadaka na kuwatahadharisha wenzake.

''Tulipokuwa tukienda kutoa sadaka niliona kitu kilichokuwa kinafanana kama kisanduku kidogo na nyaya ,nilihofu sana nikamweleza padri'' alisema bwana Richard Kanyuiro.

Afisa mmoja wa polisi wa utawala aliyeitwa kushuhudia alikitambua kifaa hicho kuwa ni bomu na hivyo wakawaarifu waumi waliotorokea usalama wao.

Maafisa wa usalama kutoka Nyeri na Embu waliitwa na kuwaondoa waumi wote karibu na kanisa hilo huku wakiwasubiri maafisa wenye uwezo wa kuharibu mabomu kuwasili kutoka Nairobi.

Mwenyekiti wa waumini katika eneo hilo bwana Paul Njeru, anasema kuwa huenda kilipuzi hicho kiliwekwa mapema siku ya jumapili katika sala ya alfajiri kwa nia ya kukilipua wakati wa misaa.

Kasisi Njenga anayesimamia kanisa hilo anasema ilikuwa ni bahati tu na huruma ya mwenyezi mungu kuwa kifaa hicho hakikulipuka wakati waumini wamejaa kanisani. ''Ni mkono wa mungu tu kuwa kilipuzi hichi hakikulipuka wakati wa ibada''

Majuzi tu Idara ya polisi nchini Kenya ilitangaza tahadhari mbali na kutaja majina ya washukiwa 11 wa ugaidi wanaodaiwa kuwa wameingia humu nchini kutoka somalia kwa nia ya kutekeleza mashambulizi haswa wakati huu wa krismasi.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top