Featured

Loading...


Ijumaa Sexiest Girl 2015… Nani mshindi kesho?

 Vanessa Mdee ‘Vee Money’
Hapa Vee Money, pale Lulu na kule Kidoa!
IMELDA MTEMA
HATIMAYE lile shindano la mwanamke mwenye mvuto (The Ijumaa Sexiest Girl 2015) linatarajiwa kufika kileleni kesho katika Sikukuu ya Krismasi ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar, unavyodhani nani ataibuka mshindi kati ya Vanessa Mdee ‘Vee Money’ Asha Salum ‘Kidoa’ au Elizabeth Michael ‘Lulu’?
lulu 
Elizabeth Michael ‘Lulu’.
Jibu rahisi, unachotakiwa ni kuhudhuria katika shoo ya Diamond Platnumz itakayofanyika Sikukuu ya Krismasi (kesho) ndani ya Dar Live na kushuhudia mshindi akitangazwa.
kidoa 
Asha Salum ‘Kidoa’
Akizungumza na Amani, mratibu wa shindano hilo, Amran Kaima alisema kuwa usiku huo mshindi atakabidhiwa pesa, tuzo, cheti, ofa ya kufanya shopping ya nguo na kutengenezwa nywele kwa kipindi cha miezi sita.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top