JAJI
Mkuu na Mwanasheria Mkuu Mstaafu, Mark Boman amesema kuwa Makamu wa
Kwanza wa Rais wa Serikali ya Umoja Zanzibar, Maalim Seif Hamad akubali
uchaguzi urudiwe Zanzibar kwani kama alishinda atashinda tena kutokana
na waliompigia katika uchaguzi ulifutwa watampIgia kura tena.
Boman
aliyasema hayo jana jijini Dar eS Salaam , wakati akizungumza na
waandishi wa habari.Alisema kuwa Maalim kujitangazia kuwa ameshinda ni
suala ambalo halikufuata utaratibu hivyo kutokana na mazingira hayo
uchaguzi ufanyike ili kupata Rais wa Serikali ya Zanzibar.
“Kurudia
uchaguzi Zanzibar ni jambo lisilo epukika lakini wakae na kuangalia
dosari zilizojitokeza na kufuta uchaguzi ili lishughukiwe kisheria,
bila kufanya hivyo kunaweza kuleta matatizo” alisema Jaji Mstaafu, Boman.
Alisema
kuwa uchaguzi uliofanyika Zanzibar walitakiwa kukaa na kuona wapi
walikosea katika kuondoa changamoto hizo ambapo ilikuwa ngumu kutokana
na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Jecha Salum Jecha na wajumbe
walishindwa kuafikiana.
Kuhusu suala la katiba
mpya, Bomani alisema ni lazima lishughulikiwe kuanzia pale lilipoishia
kwani kuachwa kwake ni aibu ya nchi kutokana na mabilioni ya fedha yaliyotumika katika mchakato huo.
Alisema migogoro ya wafugaji na wakulima inatokana na kutokuwa na katiba ambayo ndio ingekuwa suluhu ya utatuzi wa migogoro hiyo.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
HABARI
on Thursday, 17 December 2015
Post a Comment