Featured

Loading...


Nape Aonya Vyombo vya Habari Kutumia Miziki ya Wasanii bila Idhini ya COSOTA


Serikali imetoa tamko kwa vyombo vyote vya habari nchini kuanzia january mosi mwakani kutotumia miziki ya aina yeyote ,wa ndani au nje bila kibali kutoka Cosota.

Wakitoa tamko hilo kwa pamoja waziri wa habari michezo na utamaduni Nape Nnauye na waziri wa viwanda na biashara Charles Mwijage wamewataka wamiliki wa vyombo vya habari kutoa ushirikiano.

Nape amesema atalisimamia zoezi hilo na kutoa tahadhari kwa chombo chochote cha habari kitachokiuka tamko hilo hatakionea haya kukifungia leseni.

Naye waziri wa viwanda na biashara amesema kuna kampuni ya wazawa ya CMEA ambayo imeanza kazi ya kusimika mitambo yake  kila mkoa itakayofanya kazi ya kunakili kila kinachofanyika kwenye kila chombo cha habari.

Kwa upande wa wasanii msanii Nick wa pili amependekeza muziki wa wasanii wa nje ya tanzania uchajiwe gharama kubwa ili muziki wa Tanzania upate nafasi kubwa.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top