Home
» HABARI
» Rais Magufuli Awahakikishia Watanzania Kutimiza Ahadi Yake Ya Elimu Bure.......Aipongeza TRA kukusanya Trilioni 1.3 Ndani Ya Mwezi Mmoja,Atoa ONYO kwa Wakuu Wa Mikoa
Rais Magufuli amempongeza Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka
ya Mapato Tanzania Dkt. Philip Mpango kwa kazi nzuri ya ukusanyaji wa
mapato inayofanywa na mamlaka hiyo ambayo imeongeza ukusanyaji wa Mapato
na kwa mara ya kwanza mwezi huu ukusanyaji wa mapato hayo unatarajiwa
kuwa zaidi ya shilingi Trilioni 1 na Bilioni 300
Kutokana
na mafanikio hayo amewahakikishia watanzania kuwa fedha kwa ajili ya
kutimiza ahadi ya kutoa elimu bure kwa shule za msingi na sekondari
ambazo ni kiasi cha shilingi Bilioni 131 zitatengwa mwezi huu na
kupelekwa moja kwa moja katika shule husika.
Amesema
wakurugenzi wa Halmashauri, Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa
watapatiwa nakala za taarifa za ugawaji wa fedha hizo na kuonya kuwa
hatua kali zitachukuliwa kwa yeyote atakayethubutu kuzitumia vibaya.
Dkt.
Magufuli ameongeza kuwa fedha hizo ambazo ni pamoja na fedha za
maendeleo, fedha za mitihani na fedha vifaa vya kufundishia zitaanza
kutumwa kila mwezi kuanzia mwezi huu wa kumi na mbili.
Msikilize Hapo Chini Akiongea
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
HABARI on Wednesday, 16 December 2015
Post a Comment