Featured

Loading...


Uchaguzi wa Meya Tanga Wazua Vurugu Kubwa, Ni Baada ya CCM kutangazwa Kushinda Japo Ina Idadi Ndogo ya Madiwani


Uchaguzi wa kumpata Meya wa jiji la Tanga umezua vurugu kubwa leo   baada ya Mkurugenzi wa Jiji hilo kumtangaza mgombea wa CCM kuwa mshindi licha ya chama hicho kuzidiwa idadi na madiwani wa Chama cha Wananchi (CUF).

Madiwani wa Ukawa wako 20 huku madiwani wa CCM wakiwa 17, hivyo upande wa UKAWA walikuwa na imani kuwa kwa wingi wao wangeweza kuongoza Halmashauri hiyo kwa kupata kura nyingi.

Taarifa za kuaminika kutoka katika chumba cha kupigia kura zimeeleza kuwa baada ya zoezi la kupiga kura, Mkurugenzi na timu yake walihesabu kura zote zilizopigwa na baadaye alitangaza kuwa mgombea wa CCM ameshinda kwa kupata kura 19 dhidi ya mgombea wa CUF ambaye amepata kura 18.

Baada ya tangazo hilo, vurugu kubwa ilizuka ukumbini hapo huku CUF wakidai kuwa ilikuwa mbinu ya CCM kumtumia Mkurugenzi wa jiji hilo kuhujumu uchaguzi na kumpa ushindi mgombea wake.

Zoezi la kumchagua Meya wa jiji hilo lilitanguliwa na uchaguzi wa Naibu Meya ambapo mgombea wa CUF alitangazwa kuwa mshindi kwa kupata kura 21 dhidi ya mgombea wa CCM aliyepata kura 16, matokeo ambayo CUF wanadaiwa kuyapinga wakidai yaliandaa mazingira ya hujuma ya Meya.

“CUF wanadai kuwa Mkurugenzi aliandaa mazingira ili ionekane kuwa kuna diwani mmoja wa CCM alimpigia kura mgombea wa CUF kwenye unaibu Meya, ili baadae aoneshe kuwa kuna wagombea wa CUF waliompigia kura mgombea wa CCM na kumuwezesha kushinda,” Chanzo kimeiambia Mpekuzi.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top