Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na
Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga atafanya ziara ya kikazi ya siku
mbili mkoani Arusha kuanzia leo Jumamosi tarehe 19 Desemba 2015.
Atakapokuwa
mkoani Arusha, Balozi Mahiga atafanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa
Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Dkt. Richard Sezibera. Mazungumzo yao
yatahusu namna ya kutatua mgogoro wa kisiasa nchini Burundi.
Aidha,
Mhe. Waziri atatembelea eneo la Lakilaki ambalo limetengwa na Serikali
kwa ajili ya ujenzi wa ofisi za taasisi za kimataifa. Ujenzi unaoendelea
hivi sasa kwenye eneo hilo ni jengo la ofisi la taasisi ya Mechanism
for Crime Tribunals (MICT) inayorithi shughuli za Mahakama ya Kimataifa
ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (ICTR) ambayo itakamilisha shughuli zake
tarehe 31 Desemba 2015.
Mhe.
Waziri pia atatembelea Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha
(AICC) kuonana na uongozi wa Kituo hicho kwa madhumuni ya kufahamiana.
AICC ni moja ya taasisi zilizo chini ya Wizara ya Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa.
Mhe. Waziri atarejea jijini Dar es Salaam siku ya Jumapili tarehe 20 Desemba 2015.
Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,
Dar es Salaam
18 Desemba, 2015
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
HABARI
on Friday, 18 December 2015
Post a Comment