KIONGOZI wa chama cha ACT-Wazalendo
Zitto Kabwe ameelezwa kufurahishwa na jitihada za kumaliza mzozo wa
kisiasa visiwani Zanzibar,huku akitaja baadhi ya mbinu ambazo chama
chake waliishauri Serikali ambazo zimeanza kuchukuliwa hatua.
Hii hapa chini ni post yake katika mtandao wa facebook juu ya suala hilo
Zanzibar tartiibu….
Disemba 20 mwaka huu 2015 Kamati ya Uongozi ya Chama cha ACT Wazalendo ilitoa tamko lake baada ya kufuatilia hali ya Zanzibar.
Moja ya mambo yaliyoelezwa katika tamko
hilo ni uwepo wa askari wengi katika kisiwa hicho hali iliyokuwa
inatishia amani kwa wananchi
Taarifa hiyo ya ACT mbali na masuala
mengine, ikaeleza kuwa ni wakati muafaka kwa serikali kuhakikisha
inawarudisha askari hao wa vikosi mbali mbali kuanzia jeshi la
Polisi,JKU,KMKM JWTZ na Mafunzo katika makambi yao.
Lengo likiwa ni kuwaacha wananchi wakiwa
katika uhuru wa kufanya shughuli zao wakati suala la mtanziko wa
kisiasa kisiwani humo ukiwa unafanyiwa kazi
Kuanzia jana Disemba 22 na leo Disemba
23 majeshi hayo yameshaanza kuondoka katika maeneo mbali mbali ya mji wa
Znz hali inayoashiria mwanzo wa mwisho mwema katika kadhia ya uchaguzi
wa Zanzibar.
Ninaomba mamlaka husika ziendelee kufanyia kazi mapendekezo yetu mengine ili kulimaliza kabisa suala hili.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
HABARI
on Wednesday, 23 December 2015
Post a Comment