Featured

Loading...


Deni la Taifa Lazidi Kupaa....Lafikia Shilingi Trilion 33. 5


Deni la Taifa limeongezeka kwa Sh7.05 trilioni, kutoka Sh26.49 trilioni Juni 30, 2014, hadi Sh33.54 trilioni sawa na ongezeko la asilimia 27. 
 
Kwa mujibu wa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Musa Assad, deni la ndani ni Sh7.99 trilioni huku deni la nje likiwa ni Sh25.55 trilioni.
 
Akiwasilisha ripoti hiyo jana bungeni, alisema kiwango hicho cha ongezeko la deni ni kikubwa katika kipindi cha muda mfupi. 
 
“Uchambuzi wangu umeonyesha kuwa malipo ya kugharimia madeni ya Sh4.6 trilioni mwaka huu ni sawa na asilimia 46 ya makusanyo ya ndani ya Serikali ambayo ni Sh10.8 trilioni,” alisema. 
 
Alisema gharama hizo zikijumuishwa na gharama nyingine kama mishahara ya wafanyakazi na malipo ya likizo, Serikali hubaki na kiasi kidogo cha fedha za kugharimia miradi ya maendeleo na huduma nyingine za kijamii. 
 
Profesa Assad alipendekeza mambo matatu kama sehemu ya mikakati ya kukabiliana na ongezeko la deni hilo, ikiwamo Serikali kuongeza jitihada za ndani za kuhamasisha ukusanyaji mapato ili kujenga wigo mpana wa kulipa madeni. 
 
Pia, alishauri kuwapo kwa mpango mkakati kuhusu fedha, hasa upunguzaji wa gharama na mikopo yenye masharti. 
 
Jambo la tatu, alishauri Serikali kuwa na uratibu mzuri wa shughuli zinazohusisha miamala ya fedha za kigeni, akisema hatua hiyo inawezekana kama kutakuwapo usimamizi thabiti.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top