Featured

Loading...


Bodaboda 100 wapatiwa mafunzo Kahama


WAENDASHA pikipiki 100 wilayani Kahama Mkoa wa  Shinyanga wametakiwa kuacha kuchukulia mambo ya siasa katika mafunzo wanayopewa na wataalamu wa usalama barabarani kwa vile elimu wanayoipata iatawasaidia katika kujikinga na ajali  zisizokuwa za lazima.

Hayo yalisemwa jana na Diwani wa Kata ya Kahama Mjini,  Abas  Omary  alipofunga mafunzo ya siku mbili ya bodaboda yaliyotolewa na wataalamu kutoka Chuo cha Usafirishaji cha Taifa (NIT),   Dare es Salaam.

Alisema   mafunzo hayo  ni kwa manufaa ya waendesha pikipiki na si wanasiasa hivyo  ni bora wanaposikia   kuna mafunzo   kujitokeza kwa wingi hali ambayo itachangia kupata elimu sahihi ya kuhusu usalama barabarani.

“Ninawaomba bodaboda mnaposikia kuna mafunzo ya usalama barabarani ni bora mkajitokeza kwa wingi kwa sababu  katika mafunzo haya lengo  ni kutoa elimu kwa watu zaidi ya 200 lakini kwa sasa ni madereva 100  ndiyo walijitokeza,”alisema.

 Mkufunzi kutoka  NIT, Charles Kisunga,   ni bora mafanikio yakaonekana ikizingatiwa watu hao wamekuwa ndiyo chanzo kikuu cha ajali barabarani.

Alisema mafunzo hayo ni maombi kutokaSerikalini na hadi  sasa yametolewa    Mtwara kwa washiriki   600, Lindi    na Sengerema mkoani Mwanza.

Naye Mbunge wa Jimbo la Kahama, James Lembeli, ambaye ndiye mfadhili mkuu wa mafunzo hayo, alisema  lengo kuu ni kuhakikisha bodaboda wanaepukana na ajali kwa kufuata sheria za usalama barabaarani kwa usahihi.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top