Featured

Loading...


BABY MADAHA: ACHENI BIFU ZA KISIASA



Staa wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha.
Gladness Mallya
STAA wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha amewataka wasanii wenzake wenye bifu za kisiasa kuachana nazo kwani kuna maisha baada ya uchaguzi.
“Inawezekana wanagombana kwa ushabiki wa vyama kwa sababu hawajui maana ya siasa na itikadi, watu wengi wanashindwa kutofautisha hayo mambo, matokeo yake ni bifu zisizo za msingi,” alisema nyota huyo baada ya kuombwa maoni yake kuhusu ishu hiyo.
Wakati nchi ikijiandaa kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa urais, ubunge na udiwani, mastaa mbalimbali wamejikuta wakiingia kwenye bifu kwa kutoleana maneno makali kwenye mitandao ya kijamii baada ya kutofautiana kiitikadi kama ilivyotokea hivi karibuni kwa Jacqueline Walper ‘Wolper’ na Aunt Ezekiel.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top