Shani Ramadhani MAKUBWA!
Dansa wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moze Iyobo amekubali kuruhusu mtoto
aliyezaa na mwigizaji Aunt Ezekiel achukuliwe na mume wa mwigizaji huyo,
Sunday Demonte aliyeko jijini Abu Dhabi akitumikia kifungo cha msala wa
madawa ya kulevya.
Dansa wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moze Iyobo akiwa na mzazi mwenzie Aunt Ezekiel.
Iyobo ametoa kauli hiyo mara baada ya Sunday ambaye imeelezwa kuwa
anaweza kutoka wakati wowote kutokana na utii wake gerezani, kutuma
salamu kuwa anafahamu Aunt amezaa na Moze lakini watambue kuwa mtoto
huyo ni wake kwani kitanda hakizai haramu.
“Ameweka wazi kabisa kuwa kitanda hakizai haramu hivyo Cookie (mtoto
wa Aunt) hawezi kuwafanya watengane, atamchukulia kama mwanaye wa kumzaa
kwa kumpa matunzo yanayostahili,” kilisema chanzo.
Alipoulizwa Moze kuhusiana na ishu hiyo, alijibu kwa kifupi: “Kama
suala ni mtoto haina shida nitamuachia tu kwani si atapatikana mwingine,
siyo ishu sana.”
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
UDAKU
on Wednesday, 30 September 2015
Post a Comment