Staa wa Hip Hop Bongo anayewakilisha Kundi la Weusi, John Simon ‘Joh Makini’
Staa wa muziki kutoka Nigeria, David Adeleke ‘Davido’
STAA wa Hip Hop Bongo anayewakilisha
Kundi la Weusi, John Simon ‘Joh Makini’ ametoboa siri ya kolabo yake na
staa wa muziki kutoka Nigeria, David Adeleke ‘Davido’ kuwa Davido ndiye
alikuwa na shauku ya kufanya naye kolabo na kumtafuta kwenye mitandao ya
kijamii.
Akichonga na Showbiz, Joh Makini
alisema, kupitia ukurasa wake wa Instagram, alitumiwa ujumbe mfupi na
Davido na kuelezwa kuwa amekuwa shabiki wake mkubwa na angependa wafanye
naye kazi.
“Kiukweli nilishangaa sana maana
sijawahi kukutana mahali popote na Davido, so lilikuwa jambo la
kushtukiza kwangu lakini nikagundua siri ambayo wasanii wengi hawaijui
ni kwamba muziki ni lugha inayoweza kuwaunganisha wasanii kutoka kona
yoyote ile duniani,” alisema Joh.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
BURUDANI
on Tuesday, 29 September 2015
Post a Comment