Katika
hali isiyo ya kawaida,Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John
Magufuli leo alijikuta katika wakati mgumu baada ya kukutana
na zomea zomea ya kundi la vijana waliovamia msafara wake akiwa
njianI kuelekea Mbarali na kuanza kuimba wakidai Lowassa ndo
Rais wao....Tazama Video hii
Pamoja na kadhia hiyo,Magufuli alifanikiwa kufika Mbarali na kuhutubia maelfu ya wananchi ambao amewaahidi kushughulikia migogoro yao ya muda mrefu ambayo imekuwa kete ya kuombea kura kwa baadhi ya wanasiasa wenye uchu wa madaraka. Tazama Na Hii
Dr. Magufuli leo pia amefanya mikutano kadhaa ya kampeni mkoani Iringa ambako alilazimika kumalizia viporo hivyo vilivyokuwa vimebaki mkoani humo.
Wananchi kwa maelfu wakimsikiliza Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Dkt.
John Pombe Magufuli akihutubia huko Makambako mkoani Iringa ambako
alipita leo kumalizia viporo vya mkoa huo kwenye kampeni zake.
Wagombea wa nafasi mbalimbali wa Mafinga wali-Magufulika mbele ya
Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Magufuli katika jimbo la
Mafinga mkoani Iringa ambako alipita leo kumalizia viporo vya mkoa huo
kwenye kampeni zake.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Post a Comment