Brighton Masalu
KUMBUKUMBU ya kusikitisha! Siku chache baada ya kushinda kesi ya ubakaji wa shemejiye, Emmanuel Mbasha ameibuka na kusimulia jinsi alivyonusurika kujitoa uhai wakati kesi hiyo ilipokuwa ikiunguruma, Risasi Jumamosi linaandika.
Emmanuel Mbasha.
‘Akimnong’oneza’ mwandishi wetu kwa njia ya simu Jumatano ya wiki iliyopita katika mahojiano maalum, Mbasha alisema kesi hiyo ilikuwa ikimuumiza moyo na kujiona hana thamani ya kuendelea kuishi hivyo njia bora ya kuepukana na kadhia hiyo ni kujitoa uhai.
Mbasha, ambaye alikuwa mume wa mwimbaji wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha alisema kitendo cha jamii kuaminishwa kuwa alitenda unyama huo, akiangalia heshima aliyonayo ikiwemo kueneza Injili kwa njia ya uimbaji, ilikuwa ni aibu mbaya ambayo kwa ujasiri wa kibinadamu haikuwa rahisi kukabiliana nayo.
Katika mazungumzo na mwandishi wetu, alisema mara nyingi watu wa karibu naye wakiwemo wazee wenye busara walishtukia njama zake za kutaka kujiua na kuamua kuwa naye karibu huku wakimpa nasaha za kumfariji na kwamba Mungu alikuwa akimpitisha kwenye jaribu hilo kwa makusudi maalum.

“Yaani wewe acha tu kaka, hakika nilitaka kujiua kabisa, ni bora ningesingiziwa mambo mengine na si kubaka, nikiangalia heshima yangu kwenye jamii, nikifikiria maisha ya jela tena kwa kosa la kusingiziwa, kwa kweli sikuona kabisa thamani yangu duniani,” alisema Mbasha.
TUJIKUMBUSHE
Mbasha alikuwa akikabiliwa na mashtaka mawili ya kumbaka shemeji yake mwenye umri wa miaka 17, kinyume cha sheria.Katika shitaka la kwanza, Mbasha alidaiwa kuwa Mei 23, 2014 alimbaka shemeji yake katika eneo la Tabata Kimanga huku katika kosa la pili la kesi hiyo, akidaiwa kufanya kosa hilohilo kwa mtu huyohuyo ndani ya gari.
Hukumu iliyomuacha huru ilitolewa Jumatatu ya wiki hii katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Ilala, ambapo hakimu Flora Mujaya alisema kwa mujibu wa sheria juu ya madai hayo, Mbasha hakuwa na hatia.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
HABARI
on Saturday, 26 September 2015
Post a Comment