Featured

Loading...


Nape Amshambulia LOWASSA....Asema ni Fisadi na Hakuna kazi Aliyofanya Bila Kuiba. Kazungumzia Pia Suala La Lowassa Kujinyea (Video)


Mjumbe wa Kamati ya Ushindi ya Chama Cha Mapinduzi, Nape Nnauye ametumia dakika takribani 10 kumshambulia mgombea urais kwa kiketi ya Chadema, Edward Lowassa aliyewahi kuwa kada wa chama hicho.
 
Nape alirusha makombora yake kwa Lowassa jana alipopewa nafasi ya kumnadi mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli katika viwanja vya Samora, mjini Iringa. 

Alisema Lowassa ni mwizi na fisadi na kwamba hakuna sehemu ambayo alipewa kufanya kazi katika ngazi za CCM na serikali bila kuiba.

Nape  alidai  kuwa  Lowassa  alishindwa  kukaa  katika  chama  cha  Mapinduzi  kwa  kuwa  hawezi  kufugika...."Lowassa  ni  Kunguru,Hafugiki." Alisema  Nape.

Katika  hatua  nyingine,Nape  alidai  kuwa  Lowassa  aliwanunua  viongozi  wa  ngazi  za  juu  wa  UKAWA  na  CHADEMA  ili  apate  nafasi  ya  kugombea  kupitia  Chadema  ambayo  awali  ilikuwa  ikimuita  fisadi.

Katika  maelezo  yake,Nape  alisema  mbunge  wa  Iringa  mjini,mchungaji Peter Msigwa  ni  miongoni  mwa  walionunuliwa  na  Lowassa  kwa  shilingi  milioni 340.

Nape  amekuwa  akirusha  makombora  kwa  Lowassa  tangu  alipotangaza  uamuzi  wake  wa  kukihama  chama  hicho  na  kujiunga  CHADEMA.

Nape  aliwahi  kunukuliwa  akisema  kuwa  amekuwa  akipambana  na  Lowassa  kwa  miaka 12  ndani  ya  CCM  na  kwamba  mziki  wake  anaufahamu 

Hata  hivyo, tangu  alipoanza  kampeni  zake,Lowassa  amekuwa  kimya  bila  kujibu  mashambulizi  ya  Nape  na  viongozi  wengine  wa  CCM,hali  inayomfanya  azidi  kujipatia  umaarufu  mkubwa  zaidi  wa  kiasiasa.

Wakati  Nape  akitumia  muda  mrefu  kurusha  makombora, Lowassa  yeye  alikuwa  Jijini  Tanga  akifanya  mkutano  mkubwa  wa  kampeni  uliolazimika  kukatishwa  kutokana  na  mafuriko  ya  wananchi  kuzidi  eneo  la  mkutano. 

Tazama  Video  Hapo  Chini  Kumsikiliza  Nape

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top