Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi.

Aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chadema, Mchungaji Peter Msigwa.
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi, amesema Jeshi hilo linamshikila aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chadema, Mchungaji Peter Msigwa na wenzake 61 kwa tuhuma za kufunga barabara ya Kihesa mjini Iringa.
Akizungumza kwenye kikao cha dharura na waandishi wa habari kwenye kijiji cha Migori kilichopo Jimbo la Isimani mkoani Iringa, RPC Mungi alisema Jeshi hilo lilimtia nguvuni Msigwa na wenzake hao jana Jumatatu majira ya jioni.
Ilikuwa ni baada ya kupata taarifa kuwa watu hao walifunga barabara ya Kihesa wakiwazuia watu waliokuwa wakienda kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Pombe Magufuli uliokuwa ukifanyika katika viwanja vya Samora mkoani Iringa.
HABARI NA RICHARD BUKOS/GPL ALIYEKO IRINGA
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
HABARI
on Tuesday, 29 September 2015
Post a Comment