Featured

Loading...


NOAH YAUA WATU WATANO,KUJERUHI 6 HUKO KATAVI

 
Watu watano wamefariki na wengine sita kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyokea kijiji cha Matandalani wilaya ya Mlele mkoani Katavi baada ya gari aina ya NOAH lenye namba T 451 DDP ikitokea Mpanda mjini Kuelekea Sitalike kupinduka na kuacha njia.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Katavi Dhahiri Kidavashari amesema ajali hiyo imetokea majira ya saa tano za asubuhi baada ya gari kupasuka tairi na kupinduka ambapo chanzo cha ajali kikiwa mwendo kasi.
Kaimu mganga mfawidhi wa hospitali ya wilaya ya Mpanda Daktari Teopista Elista anasema walipokea majeruhi na miili ya marehemu majira ya saa sita mchana na kudai kuwa miili ya marehemu hao imehifadhiwa katika hospital hiyo.
Majeruhi wa ajali hiyo wanaendelea na matatibabu na hali zao zinaendelea vizuri.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Watoto wenye miezi tisa na miaka mitatu wamenusurika uku mama yao akipoteza maisha
Dereva wa gari hilo aliyejulikana kwa jina la Jastini Sizyindayasa anashikiliwa na polisi.
Katika hatua nyingine miili ya marehemu hao imehifadhiwa katika chumba cha maiti hospitali ya Mpanda uku vifaa vya kuhifadhia Maiti vikiwa vimeharibika.

Chanzo-Eddy Blog

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top