Featured

Loading...


Askari Wakamatwa kwa Kumuua Mdhamini wa Mtuhumiwa kesi ya Wizi wa fedha kwa Mtandao

Polisi mkoani Mbeya inamshikilia Mkuu wa kituo kidogo cha Polisi Ikata mkoani humo, Steven Rajab pamoja na askari mgambo wawili waliofahamika kwa jina moja moja, Labani na Kafurafumbi, kwa kutuhumiwa kumpiga Simioni Mndolwa na kusababisha kifo chake siku nne baadaye.

Kamanda wa Polisi Mbeya, Ahmed Msangi amesema kuwa watuhumiwa wanashikiliwa kwa mahojiano huku kituo hicho kikiwa kimefungwa hadi hapo watakapopelekwa askari wengine.

Imeeelezwa na ndugu wa marehemu pamoja na mwenyekiti wa kijiji kuwa, marehemu alifikwa na mauti kutokana na majeraha aliyoyapata alipopigwa kutokana na kutokuonekana kwa Nebati Nkwale, anayekabiliwa na kesi ya wizi wa fedha kwa njia ya mtandao ambaye marehemu alikuwa amemdhamini. Nkwale alitokomea kusikofahamika baada ya kupewa dhamana.

Mke na watoto wa marehemu wameripoti kuwa walifika mara kadhaa kituoni hapo wakiomba kuondoka na Mndolwa wakati akiwa bado hai ili atibiwe lakini hawakuruhusiwa hadi watoe dhamana ya shilingi laki tano

Mke wa marehemu ameeleza kuwa walilazimika kuuza ng’ombe ili kupata kiasi cha fedha kilichotawa. 
 
Baada ya kufanikiwa kumpatia dhamana na kufanikiwa kumfikisha nyumbani, hali ya mgonjwa ilikuwa dhoofu kiasi cha kushindwa kuzungumza. 
 
Alipelekwa hospitali ya Mbozi Mission ambapo aliandikiwa rufaa na kwenda hospitalini Mtwara ambapo alikata roho akiwa katika chumba cha mapokezi.
~Mpekuzi blog

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top