Siku
chache baada ya Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kutoa tamko la
kuufungia wimbo wa Roma ‘Viva’, rapa huyo amesema kuwa bado hajapata
barua rasmi ya Baraza hilo.
Amesema yeye pia ameiona habari hiyo kwenye mitandao na sababu zilizoainishwa na Baraza hilo kuifungia ‘Viva’.
Licha
ya kukiri kuwa hafahamu taratibu zinazotumiwa na Baraza hilo kutoa
taarifa kama hizo, Roma alilishauri Baraza hilo kuweka utaratibu wa
kuzisikiliza nyimbo kabla hazijatoka ili kuepusha usumbufu.
"Nisiwe
muongo, sijui taratibu wanazotumia kufikisha taarifa zao.Mi
nadhani ingekuwa rahisi kama artist hajaachia nyimbo yake mpya
ama hajafanya kazi yake ya sanaa,iwe inawasilishwa katika hicho
chombo.Nadhani hapo tungekuwa tunaenda sawa," amesema Roma.
Hata
hivyo,Afisa habari wa BASATA,Artistide Kwizela amefafanua
taratibu zinazotumiwa na baraza hilo kufikisha ujumbe kwa umma
pale wanapoifungia kazi fulani ya msanii.
"Kuna
kufungiwa kwa maana ya msanii mwenyewe kuandikiwa,lakini kama
kuna taarifa imetoka public kwamba nyimbo za namna hiyo
zimezuiliwa, kuna two ways.....Either barua kuandikwa kwa msanii
au Public anouncement kwamba wimbo fulan umefungiwa"
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
BURUDANI
on Wednesday, 30 September 2015
Post a Comment