Featured

Loading...


SHULE TANO ZAFUNGWA MWANZA, NI BAADA YA KIPINDUPINDU KUUA WANANE

MLIPUKO wa ugonjwa wa kipindupindu umeshika kasi sasa mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Morogoro, Singida na Mwanza baada ya kusababisha vifo vya watu kadhaa na wengine wengi kulazwa mahospitalini tangu ugonjwa huo uanze kusambaa kwa kasi nchini mwanzoni mwa Agosti.
Bakteria aina ya vibrio chorelae ambao husababisha ugonjwa wa kipindupindu
Hali inazidi kuwa mbaya katika maeneo mbalimbali nchini kutokana na mlipuko wa kipindupindu, hali iliyopelekea Shule nne za Msingi na moja ya Sekondari katika Kata ya Irugwa wilayani Ukerewe mkoani Mwanza, kufungwa kufuatia mlipuko wa ugonjwa huo kisiwani humo.
Shule za msingi zilizofungwa ni za Buruza, Nabweko, Sambi na Kulazu, wakati shule ya Sekondari ya Irugwa zote zimefungwa leo baada ya wanafunzi 22 wa shule za Msingi Nabweko kuambukizwa kipindupindu na watu wengine waliokuwa wanakusmbuliwa na ugonjwa huo kufariki dunia.
Diwani wa kata hiyo ya Irugwa, Juma Msongi ameithibitisha kuwa, tangu ugonjwa wa kipindupindu ulipoikumba kata yake wiki iliyopita katika baadhi ya maeneo ya Kata hiyo, watu 8 wamefariki dunia na hali inazidi kuwa mbaya kutokana na kukosekana kwa huduma madhubuti za kuweza kukabiliana na ugonjwa huo.
Kwa mujibu wa diwani huyo, kutokana na hali ilivyo sasa wananchi wanatakiwa kuzingatia usafi wa mazingira ikiwemo matumizi sahihi ya vyoo na kujiepusha na ulaji ovyo wa vyakula, kuhakikisha usafi wa mazingira, vyakula na kuchukua tahadhari juu ya ugonjwa wa kipindupindu.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top