Featured

Loading...


Tetesi:Hali si Shwari Lumumba Timu ya Kampeni ya Dr Magufuli imeingiwa na Kiwewe cha Kushindwa


Hali si shwari Lumumba timu ya kampeni ya Dr Magufuli imeingiwa na kiwewe cha kushindwa.

Baada ya Dr Pombe Magufuli kuzidiwa katika kampeni zinazoendelea viongozi wa kampeni wakiongozwa na Col Kinana wameanza kuparurana huku muda wa kampeni ukizidi kuyoyoma.Mnyetishaji anazidi kufunguka baadhi ya wapiga debe wameondolewa baada ya kubainika uwepo wao kunazidi kuiangamiza matumaini ya Dr Magufuli ya kuingia Ikulu ya magogoni.

Mikutano ya Dr Pombe hasa ule wa Mbeya na Iringa kumeondoa uwezekano wa kupata 25% ya kura.Wananchi wamechoka na wameonyesha hisia zao mbele ya mgombea.Wakuu wa mipango wamewaza na kuwazua mbinu zote zimeshindwa ikiwemo ya RICHMOND na Ugonjwa wa mgombea wa UKAWA zimeshindwa kumsaidia Dr Pombe.Tayari baadhi ya wapiga debe wameanza kujiandaa kushindwa na wengine wapo mbioni kuitosha CCM muda wowote kuanzia sasa.

Mikutano ya mgombea wa UKAWA Tanga na Mtwara mikoa ambayo miaka yote ilikuwa ndio ngome ya CCM sasa imegeuka na kukitosa CCM jambo ambalo limemfanya Mwenyekiti wa CCM kufuta safari zote alizotegemea kuzifanya kabla ya kuachia madaraka kwa kisingizio cha kwenda kuaga.Mikutano isiyokwisha imekuwa ikifanyika bila kuwa na majibu ya uhakika.Col Kinana na genge zima la kampeni wamechanganyikiwa.

Taarifa zaidi zinadai timu ya wazee iliyotumwa kwa Prof Mwandosya imeshindwa kumshawishi.Prof Mwandosya kanuna hataki kushiriki katika kampeni za Dr Magufuli.

Source: Ngongo/Jamii Forums

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top