Featured

Loading...


Lowassa Tayari Keshapiga Kura, Monduli......Kasema Anategemea Kushinda na Hatakubali Matokeo Kama Yatahujumiwa

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) Edward Lowassa amepiga kura, Monduli 
Lowassa  alipata  nafasi  ya  kujibu  maswali  kadhaa  ya  waandishi  ambao  walitaka  kujua  kama  atakuwa  tayari  kutakubali  matokeo  iwapo  atashindwa.
 
Katika  majibu  yake, Lowassa  amesema  atakubali  matokeo  kama  hayatachakachuliwa, vinginevyo  hatakubali.
Waandishi  pia  walitaka  maoni  ya  Lowassa  kuhusu  hukumu  ya  mahakama  kukataza  watu  kukaa  mita 200  baada  ya  kupiga  kura.
Katika  majibu  yake, Lowassa  amesema  hali  aliyoiona  kituoni  ni  ya  amani  na  utulivu  hivyo  hana  maoni  ya  ziada  kuhusu  hukumu  ya  kukaa  mita  200 

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top