Leo
Watanzania watatumia haki yao ya kikatiba kuchagua Rais wa Jamhuri ya
Muungano, Rais wa Zanzibar, wabunge wa Bunge la Muungano, madiwani na
wawakilishi kwa upande wa visiwani baada ya utawala wa Serikali ya Awamu
ya Nne kuhitimisha kipindi chake cha pili cha miaka mitano.
Ni
siku ambayo inahitimisha kampeni ya takriban siku 64 za wagombea wa
nafasi mbalimbali kujinadi kwa wananchi ili wapewe dhamana ya kuwaongoza
kwa miaka mitano ijayo.
Ni
siku ambayo Watanzania watakuwa wakipiga kura kwa mara ya tano kwenye
Uchaguzi Mkuu tangu mwaka 1995 baada ya Serikali kurejesha siasa za
ushindani mwaka 1992.
Katika uchaguzi wa mwaka huu, vyama nane vimesimamisha wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wagombea
hao ni John Magufuli, anayegombea kwa tiketi ya CCM, Edward Lowassa
(Chadema), Anna Mghwira (ACT Wazalendo) na Macmillan Lyimo wa TLP.
Wengine ni Hashim Rungwe wa Chaumma, Chifu Litasola Yemba (ADC), Fahmi Dovutwa (UPDP) na Junken Kasambala wa NRA.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
SIASA
on Sunday, 25 October 2015
Post a Comment