Featured

Loading...


NEC yatoa Uhuru kwa Waandishi siku ya Uchaguzi


Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) itaruhusu waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali kufika kwenye vituo vya kupigia kura na kufanya mahojiano na wapiga kura pamoja na wasimamizi wa uchaguzi kuhusu zoezi la kupiga kura litakavyokuwa likiendelea.

Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi wa NEC, Ramadhani Kailima wakati wa mafunzo ya siku mbili ya waratibu wa uchaguzi, wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya majimbo na wilaya na maafisa wa uchaguzi yaliyofanyika mjini Morogoro.

Mkurugenzi huyo amesema kuwa uchaguzi wa mwaka huu ni wa kihistoria kwani kwa mara ya kwanza waandishi wa habari wataruhusiwa kufika katika vituo vya uchaguzi kwa lengo la kupata habari kutoka kwa wasimamizi wa uchuguzi na hata wapiga kura kuhusu namna uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 utakavyokuwa ukiendelea.

Hata hivyo Kailima amesema kuwa kwa sasa tume inaandaa mwongozo utakaoeleza taratibu na mipaka ya waandishi wa habari pamoja na watakaohusika kutoa habari katika vituo hivyo vya kupigia kura.

Katika hatua nyingine Kailima amesema kuwa NEC imepata taarifa kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) iliyotabiri kuwa mwezi Oktoba kutakuwa na mvua hivyo NEC imejiandaa kukabiliana na changamoto hiyo.

Hivyo amewataka wasimamizi wa uchaguzi kubaini mapema maeneo ambayo yanaweza kuingia maji na kuweka tahadhari ili kuepuka usumbufu kwa wapigakura ama uharibifu wa vifaa vya kupigia kura zikiwemo karatasi.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top