Wakati
zoezi la upigaji kura likiendelea nchi nzima wakazi wa kata ya Matongo,
jimbo la Bariadi, mkoani Simiyu wameshindwa kupiga kura kwa nafasi ya
udiwani kwa kile kinachodaiwa uhaba wa karatasi za kupigia kura.
Akiongea
na waandishi wa habari Msimamizi wa uchaguzi katika jimbo hilo Abdallah
Malela amesema kukosekana kwa karatasi ndicho chanzo cha uchaguzi kwa
ngazi ya udiwani kusitishwa katika eneo hilo.
Alisema
kuwa kata hiyo ina jumla ya wapiga kura 7500, na vituo 17 lakini
karatasi ambazo zimetoka Tume ya uchaguzi zilikuwa 3400 tu, huku zaidi
ya wapigakura 4100 wakikosa karatasi hizo za kupigia kura.
“Baada
ya kuona hali hiyo niliwasiliana na viongozi wa tume kutoa taarifa
ambao waliamua kuhairisha zoezi kwa nafasi ya udiwani tu, mpaka tena
itakapotangazwa na tume,” alsiema Malela.
Kwa upande wa rais na mbunge, zoezi liliendelea kama kawaida kwa kuwa karatasi hizo zililetwa za kutosha.
Kwa
upande wa Jimbo la Itilima Mkoani hapa Msimamizi wa uchaguzi
Alphonce Aloyce alisema zoezi lilienda salama licha ya mihuri kukwama
ingawa tatizo hilo lilipatiwa ufumbuzi mapema.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
SIASA
on Sunday, 25 October 2015
Post a Comment