Mhubiri maarufu duniani TB Joshua wa kanisa la Church of All Nations
nchini Nigeria ametua jijini Dar es salaam leo tayari kwa kushuhudia
kuapishwa kwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Magufuli siku ya
Alhamisi.
Mara tu baada ya kutua uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere,
TB Joshua alikwenda Ikulu moja kwa moja kumsalimia Rais Jakaya Mrisho
Kikwete kumsabahi na kumpongeza kwa kufanikisha uchaguzi mkuu kwa uhuru
na amani, huku akiondoka madarakani akiwa mtu mwenye furaha. TB Joshua
amepongeza Rais Kikwete pia kwa kupata Dkt Magufuli kama mrithi wake,
akimtaja Rais huyo mpya mteule kama Rais wa Tanzania wa Baraka na Fanaka
tele katika awamu hii mpya.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
HABARI
on Tuesday, 3 November 2015
Post a Comment