Madiwani kumi wa Chama Cha wananchi
(CUF) waliodaiwa kufanya vurugu katika uchaguzi wa Meya wa Manispaa ya
jiji la Tanga wanatarajiwa kufikishwa mahakamani.
Hayo yalisemwa jana na Kamanda wa Polisi
wa Tanga, Zubery Mwombeji alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari
kuhusu tukio la vurugu zilizotokana na madiwani wa CUF kupinga matokeo
ya uchauguzi huo.
Kamanda Mwombeji alisema kuwa madiwani
hao walikamatwa na kupelekwa katika kituo cha Polisi cha Chumbageni na
baadaye waliachiwa kwa dhamana majira ya saa sita usiku.
Alisema kuwa madiwani hao walikamatwa
kwa tuhuma za kufanya vurugu na kuchoma pazia na kujaribu kuvunja mlango
wa ofisi ya Mkurugenzi wa halmashauri hiyo.
Madiwani wa CUF wanadaiwa kufanya vurugu
katika ukumbi wa halmashauri ya jiji hilo uliotumika kupigia kura baada
ya Mkurugenzi wa jiji hilo kumtangaza diwani wa CCM, Mohamed Mustafa
kuwa mshindi kwa kupata kura 19 dhidi ya mgombea wa CUF aliyepata kura
18.
CUF walipinga matokeo hayo na kudai kuwa
walihujumiwa na kuporwa ushindi hususan kwa kuwa wana idadi ya madiwani
20 dhidi ya madiwani 17 wa CCM.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
HABARI
on Monday, 21 December 2015
Post a Comment