
Mbunge wa Kinondoni, Maulid Mtulia amesema leo anatarajia kwenda
mahakamani kupinga ubomoaji nyumba katika Bonde la Msimbazi kwa madai
kuwa Serikali haijatimiza ahadi ya kuwagawia wakazi wengi wa maeneo hayo
viwanja Mabwepande.
Mtulia alitangaza dhamira yake hiyo jana alipowatembelea wakazi wa Mkwajuni waliokumbwa na bomoabomoa hiyo.
Akiwa katika eneo hilo, Mtulia alielezwa na Mjumbe wa Serikali ya Mtaa
wa Hananasif, Deogratius Mogela kwamba kati ya wakazi 375 wa mtaa huo
ambao nyumba zao ziliwekewa alama kwa ajili ya kupewa viwanja, ni 21 tu
ndiyo waliokabidhiwa.
“Wengine tuliambiwa tusubiri awamu nyingine, lakini tumeshangaa nyumba
zetu zote zimebomolewa wakati ahadi bado haijatekelezwa,” alidai Mogela.
Akifafanua mbunge huyo, alisema anataka ubomoaji huo usimame mpaka ufumbuzi wa tatizo hilo la viwanja utakapopatikana.
“Manispaa ya Kinondoni na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
tukae pamoja tufanye tathmini ili walionufaika na viwanja vya
Mabwepande wajulikane, inaonekana viwanja hivi vimekwenda kwa watu wasio
walengwa,” alisema.
Mtulia alisema hatetei watu wanaoishi kwenye maeneo hatarishi, bali
wanapaswa kupatiwa viwanja ndipo wahame. Bomoabomoa hiyo itaendelea tena
leo katika eneo la Hananasif.
-Mwananchi
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
HABARI
on Monday, 21 December 2015
Post a Comment