Featured

Loading...


Ufisadi:Kigogo Wa Ikulu Adaiwa Kutumia Fedha za Umma ( Laki 8 ) Kufanya Masaji


Harakati za kuwasaka wabadhirifu wa fedha za umma ili waingie kwenye msululu wa opareshini ya kutumbua majipu iliyoanzishwa na serikali ya awamu ya tano zimeibua tuhuma nyingine zinzomhusu moja kati ya vigogo anayedaiwa kuwa mfanyakazi wa Ikulu.
Taarifa zilizochapishwa katika gazeti la MwanaHalisi zinaeleza kuwa uchunguzi uliofanywa na gazeti hilo umebaini nyaraka zinazoonesha kigogo huyo alitumia fedha za walipa kodi kiasi cha shilingi 821,997.24 kwa ajili ya kufanyiwa huduma ya kukandwa mwili (massage), katika hotel ya kifahari ya Four Seasons Safari Lodge iliyoko ndani ya mbuga za wanyama za serengeti, Arusha.
Kwa mujibu wa gazeti hilo, stakabadhi waliyoipata katika hotel hiyo ilionesha kuwa kigogo huyo alifika hotelini hapo April 17 mwaka huu tarehe ambazo Rais mstaafu Jakaya Kikwete alikuwa na ziara jijini Arusha.
Imeelezwa kuwa kigogo huyo ambaye hotel hiyo haikutaka kumtaja jina alilala katika chumba namba 9017 na alikuwa na mrembo wake ambaye kwa pamoja walipata huduma zilizoingizwa kwenye stakabadhi iliyolipiwa na Ikulu.
Mbali na huduma ya Massage, huduma nyingine zilizoorodheshwa nakala ya ankara hiyo ni usafi wa nguo ambao uligharimu shilingi 676,000.
Katika kutafuta kujiridhisha, gazeti hilo lilimpigia simu afisa wa hotel ya Four Seasons Safari Lodge ambaye licha ya kukataa kutoa maelezo alikiri kuwapokea baadhi ya wafanyakazi wa Ikulu katika siku tajwa.
Chanzo: Mwanahalisi

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top