Modo anayefiti kuvaa viatu vya Agnes Masogange, Asha Salum ‘Kidoa’.
Na Mayasa Mariwata
Modo anayefiti kuvaa viatu vya Agnes Masogange, Asha Salum ‘Kidoa’
amedai kuna kigogo mmoja amekuwa akimtaka kimapenzi lakini kila
anavyojaribu kumkatalia, anamtishia kumfanyizia.
Kidoa juzikati aliliambia Ijumaa kuwa, kigogo huyo ambaye kwa sasa
hawezi kumtaja jina lake aliwahi kumpigia simu na kutaka kuonana naye
kwa maelezo kuwa, anataka kumpa dili.
“Sikutaka kukutana naye, nikamuuliza dili gani, hakuniambia lakini
mara akaanza kuniomba penzi, nilimwambia nina mtu wangu na sitaki
anisumbue, amekuwa akinipa vitisho, hapa nilipo nina mpango wa kwenda
polisi kushtaki,” alisema Kidoa.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
UDAKU
on Friday, 25 September 2015
Post a Comment