VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimetoa
matokeo ya utafiti uliofanywa sehemu tatu tofauti unaoonyesha mgombea
wao wa urais, Edward Lowassa, atapata ushindi wa asilimia 76.
Matokeo ya utafiti huo yalitolewa Dar es Salaam jana ikiwa ni siku
chache tangu Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Twaweza itoe utafiti
wake ambao ulimpa mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli ushindi wa
asilimia 65 na Lowassa ushindi wa asilimia 25.
Kabla ya Twaweza, Chama Cha Mapinduzi (CCM) pia kilitoa utafiti wake uliompa Dk. Magufuli ushindi wa asilimia 69.
Akitoa ripoti ya utafiti huo jana, Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, James
Mbatia alisema Ukawa umefanya utafiti mara tatu ambao ulishirikisha
watafiti wa ndani, nje na kwa njia ya mitandao.
Mbatia
alisema kuwa utafiti wao wa ndani (Ukawa) uliofanywa na wataalam kutoka
nje ya nchi unaonyesha kuwa Lowassa atashinda kwa asilimia 74 huku
wataalamu wa ndani wakitoa matokeo yanayompa Lowassa ushindi mwingine wa
kishindo wa asilimia 76.
“Upo pia utafiti uliofanywa kupitia mitandao ya simu na kuonyesha kuwa Lowassa atashinda kwa asilimia 79,” alisema Mbatia.
Kwa mchanganuo huo, kwa mujibu wa Ukawa, Lowassa atashinda kwa wastani wa asilimia 76.3.
Mbatia alisema wataalam hao walifanya utafiti huo baada ya Lowassa ameshajiunga na umoja huo.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
SIASA
on Friday, 25 September 2015
Post a Comment