Featured

Loading...


Mbatia &TWAWEZA, IPSOS na siasa?, Kikwete na Magufuli, Waangaalizi EU + RIP Celina Komban. (Audio).

Uchambuzi wa magazeti leo 25 September 2015 umesikika moja kwa moja kutoka @CloudsFM The Peoples Station’, na kama kawaida ripota wako wa nguvu anazo zile zote kubwa za leo  kwenye kurasa za magazeti.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi Celina Kombani afariki dunia jana nchini India alipokuwa anapata matibabu, Mahujaji 117 wapoteza maisha Mecca, matokeo ya utafiti wa TWAWEZA yaendelea kupingwa huku UKAWA wasema utafiti huo umelenga kuibeba CCM, James Mbatia ametoa mualiko kwa TWAWEZA katika mdahalo huru ili kujibu maswali yaliokosa majibu kuhusu utafiti huo.
Kampuni ya IPSOS imekana ripoti iliosambaa jana ikielezea matokeo yake ya utafiti wa hali ya kisiasa nchini huku utafiti huo ulionyesha kuwa kama Uchaguzi mkuu ungefanyika mwezi September Mgombea Urais CCM John Magufuli angeshinda kwa 62%  na Mgombea Urais CHADEMA Edward Lowassa angeshinda kwa 31% na Mgombea Urais kupitia ACT Wazalendo Anna Mgwila 0.3%.
Mgombea Urais CHADEMA Edward Lowassa asema hatakubali kushindwa mpaka pale itakapo bainika kuwa Uchaguzi Mkuu ulifanyika kwa haki na taratibu zote zilifuatwa bila wizi wa kura, Rais Jakaya Kikwete amesema hamshangai mgombea Urais kupitia chama chake Dk. John Magufuli kukosoa utendaji kazi wa Serikali yake katika kampeni zake, asema yuko sawa kwani kila kiongozi ana namna yake ya kuongoza.
Waangalizi wa Umoja wa Ulaya EU wanaendelea kuwasili nchini, Maafisa polisi nchini South Africa wanamshikilia mwanaume mmoja kutoka Ujerumani aliyekamatwa kwa madai ya kuhifadhi sehemu za siri 21 za wanawake kwenye jokofu, upelelze juu yake bado unaendelea.
Nimekuwekea sauti yote ya uchambuzi wote wa magazeti kwenye #PowerBreakfast hapa chini.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top