Katika
siku za hivi karibuni, kumekuwepo na tangazo kuhusu nafasi za ajira
katika Jeshi la Magereza linalodaiwa kuwa limetolewa na Kamishna
Jenerali wa Jeshi la Magereza na kusambazwa kwenye baadhi ya Mitandao ya
kijamii. Umma unajulishwa kuwa taarifa hizo siyo za kweli.
Jeshi
la Magereza linapenda kuufahamisha umma kuwa ajira hutolewa na
kutangazwa kupitia Vyombo vya Habari pamoja na tovuti ya Jeshi la
Magereza ya www.magereza.go.tz na si vinginevyo
Hivyo,
Jeshi la Magereza linawatahadharisha Wananchi wote kuwa macho na
mitandao ya kitapeli inayotoa taarifa za kupotosha na kuleta usumbufu
mkubwa kwani mfumo wa ajira ndani ya Jeshi la Magereza ni wa wazi na
unafuata Kanuni na Taratibu za ajira za Utumishi wa Umma.
Imetolewa na kusainiwa na,
John C. Minja
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA
29 Septemba, 2015
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
HABARI
on Wednesday, 30 September 2015
Post a Comment