Featured

Loading...


Tanesco yatoa sababu za kukatika umeme mara kwa mara


Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limetoa ufafanuzi kuhusu tatizo la kukatika kwa umeme linaloendelea nchini linatokana na kuongeza taratibu megawati hadi zifikie megawati 335.

Meneja Mahusiano Adrian Severin alipokuwa kwenye uzinduzi wa usambazaji wa waya za umeme kwenye shule ya Msingi ya Msasani B,amesema tatizo la kukatika kwa umeme litaisha Oktoba mwaka huu baada ya bomba la gesi kujaa baa 52.

Severin amesema Septemba 19 mwa huu Tanesco iliwasha mitambo ya Umeme wa gesi asilia megawati 90 huku wakiendelea kuongeza kidogokidogo kufikia 335 ambazo zinatakiwa kutokana na ukubwa wa bomba hilo.

“Tatizo hili la kukatika kwa umeme litakuwa kwenye mikoa ambayo Gridi ya taifa imepita hivyo tulianza kuzalisha megawati 90 na tunaendelea kupandisha kiwango taratibu ili kufikia megawati 335 mwishoni mwa Oktoba mwaka huu,”amesema Severn.

Amesema Tanesco wanaendelea kuongeza kupandisha kiwango taratibu za megawati ili tatizo la kukatika kwa umeme lipungue kwenye mikoa mbalimbali nchini.

Wakati huohuo Shirika hilo limesambaza nyaya za umeme zenye thamani ya Sh10 milioni kwenye vyumba 18 vya shule ya Msingi Msasani B.

Severin amesema Tanesco linajihusisha na jamii kwa kusaidia kutoa misaada mbalimbali ya maendeleo ikiwemo huduma za afya na kugawa madawati katika shule mbalimbali.

Aidha, Afisa Takwimu Geogre Maiga amesema msaada huo wa umeme utaisaidia shule hiyo kusoma kwa kutumia teknolojia ya kisasa kwa kutumia komputa.

“Kama umeme umeingia kwenye shule hii ninaamini kuwa ndio mwanzo wa kupata komputa ambapo wanafunzi wetu wataweza kujifunza somo la Tehama kwa vitendo,”amesema Maiga.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top