Chama
cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Dodoma kimesema kuwa kimejipanga
kuhakikisha wananchi ambao sio wakazi wa maeneo husika mkoani humo
hawashiriki kuwachagua viongozi wasiowahusu.
Katibu
Msaidizi wa CCM Mkoa wa Dodoma, Othman Dunga aliyasema hayo hivi
karibuni alipoongea na waandishi wa habari mkoani humo, ambapo alieleza
kuwa wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali waliojiandikisha katika mkoa huo
lakini hawaishi maeneo hayo hawataruhusiwa kupiga kura kuwachagua
wabunge na madiwani.
“Zipo
taarifa kwenye mitandao ya kijamii kwamba Ukawa wameanzisha utaratibu
wa kukodi magari kwa ajili ya kuwaleta wanafunzi ambao wamejiandisha
hapa kwa ajili ya kupiga kura. Huu ni ushahidi tosha kwamba sio wakazi
wa Dodoma,” alisema Dunga.
“CCM
tumejipanga kuhakikisha hawapigi kura za kiongozi asiyewahusu, mawakala
wetu watakabidhiwa orodha ya wakazi na wataisimamia hiyo,” Dunga ananukuliwa.
Kulikuwepo
na taarifa zisizo rasmi kuwa kuna ‘wasamalia wema’ ambao wamejitolea
kuhakikisha wanafunzi wa vyuo vikuu waliojiandikisha katika daftari la
wapiga kura wakati wakiwa vyuoni na sasa wako majumbani, wanarudi katika
maeneo waliyoandikishwa ili wapige kura.
Kwa
mujibu wa Dunga, huenda wanafunzi hao wakaambulia kupiga kura kumchagua
rais pekee katika eneo walilojiandikishia walipokuwa wanasoma vyuoni
hapo.
chanzo; Mpekuzi blog.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
SIASA
on Monday, 19 October 2015
Post a Comment