Tayari wakili jembe na nguli Peter Kibatala akiambatana na wanasheria
nguli wa Ukawa Prof Safari, Mallya na Tundu Lissu asubuhi ya leo
amefungua kesi mahakama kuu kuishitaki NEC kwa ukiukwaji wa sheria juu
ya wananchi kukaa mita mia mbili na kulinda kura.
Kesi imefunguliwa under certificate of urgency nadhani kama sijakosea
kwa kiswahili ni 'hati ya dharura' ili isikilizwe na tafsiri itoke kabla
ya uchaguzi.Tayari jalada lishapelekwa kwa pilato na wanasheria nguli
wa Ukawa wamejipanga kwa hoja za nguvu na ushahidi wa kutosha.
Pia jopo la wanasheria nguli wa UKAWA wameiomba mahakama kuu ya Tanzania
kutoa tafsiri ya kisheria juu ya matamshi ya rais wa nchi kuwa alitumia
mamlaka gani kuvaa kazi za tume.
By Amilyroley/Jamii Forums
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
SIASA
on Friday, 16 October 2015
Post a Comment