Hii ndiyo Tunduma bwana, Baada ya kusikia kwamba Lowassa, kipenzi na
kiongozi wa Mabadiriko hapa Nchini atakuwepo hapa Tunduma leo hii mnamo
kuanzia saa tisa alasiri, Wananchi wamekesha uwanja wa MAGEUZI (Zamani
uwanja wa Dr Slaa) Shule ya Msingi Tunduma.
Polisi baada ya
kusikia kwamba kunawatu wanakesha uwanjani, wakaenda kuwatawanya kwa
Mabomu bila mafanikio, baadaye Viongozi wa Chadema wakaenda kuongea na
Polisi na hatimaye wakafikia muafaka. hivyo kuwaruhusu watu kuendelea
kukesha mpaka leo Asubuhi.
Kipande cha Barabara toka Kisimani
mpaka Kanisani Roma, Kimepigwa Deki kinang'aa na kumeremeta kanakwamba
ni Almasi mpya toka Dukani. Wafanyabiashara wanajiandaa kufunga Maduka
yao ili kuhudhuria Mkutano huu wa Kihistoria ambao haujawahi kufanyika
tangu Nchi yetu ipate Uhuru.
Uwanja wa Mageuzi unaonekana ni
Mdogo, Kamati ya siasa ya Chadema inatakiwa kufika mapema ili kuwapanga
watu ili kuzuia yale ya Tanga na Mwanza (Mungu Epushia mbali)
Kiufupi mji wa Tunduma Umezizima.
BACK TANGANYIKA
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
SIASA
on Saturday, 17 October 2015
Post a Comment