Featured

Loading...


Walisema Hataweza Kuleta Mabadiliko Ndani ya Mfumo wa CCM, Sasa Wanadai Anatekeleza ilani yao

Hawa marafiki zetu wa upinzani kwa maoni yangu ni watu wa kutafuta tafuta sababu za kujitetea!
Wakati CCM inampitisha Magufuli kuwa mgombea urais, jamaa wakajaribu kuja na hoja kwamba hata aje malaika hataweza kuleta mabadiliko Kwasababu ya mfumo uliopo!!

Hoja yao ikawa Magufuli anafaa kuwa Raisi lakini mfumo ulio chini ya chama cha Mapinduzi utakuwa kikwazo kwake kuleta mabadiliko ambayo Magufuli alikuwa akiya nadi wakati wa kampeni! Ajabu ni kwamba hawakutuambia wakati ule kwamba mabadiliko aliyokuwa anayanadi Magufuli wakati wa kampeni yako kwenye ilani yao. Wao walichokiona na kutuaminisha wananchi ni kwamba ilani ya CCM iliweka mabadiliko ambayo Magufuli atashindwa kuyaleta akiwa ndani ya mfumo huu!!
Kichekesho sasa!!!

Baada ya wananchi kutokuwaamini wapinzani na kumuamini Magufuli na wakamchagua kuwa Raisi.
Na Magufuli huyo akaanza kuzifanyia kazi zile ahadi za mabadiliko alizozitoa wakati wa kampeni, wale jamaa wanarudi tena na hoja nyingine,
Eti Magufuli ameamua kuifuata ilani yao na kuiacha ilani ya CCM aliyoinadi!!!
Hivi hizi ni akili timamu kweli????
Wamesahau kwamba wakati Magufuli akiinadi hiyo ilani wakati wa kampeni, hao hao waliiona ni nzuri lakini wakajaribu kuwaaminisha watz kwamba Magufuli atashindwa kuitekeleza Kwasababu ya mfumo!!

Leo Magufuli anawaonyesha kwamba mfumo hauwezi kumzuia kuitekeleza ilani hiyo ya CCM na mabadiliko iliyoya ainisha, wanasema hayo unayo yafanya yako kwenye ilani yetu!!!!
Hivi mabadiliko Yale mliyo sema atashindwa kuyaleta Kwasababu ya mfumo ni yapi????
Magufuli amewathibitishia kwa vitendo kwamba siku zote mko wrong!!!!
Inabidi mfikirie tena!!!!

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top