Featured

Loading...


Wake Up Filamu ya Kwanza Bongo Kuchezwa na Mastaa Wengi

Wake Up Filamu ya Kwanza Bongo Kuchezwa na Mastaa Wengi
TASNIA ya filamu imezidi kukua na kusonga mbele kila siku, thamani ya wasanii wanalipwa fedha nyingi kwa kushiriki filamu moja jambo linalomfanya mtayarishaji kutumia wasanii wachache kwa filamu yake lake katika sinema ya WAKE UP imevunja rekodi kuwashirikisha nyota wengi.
Akiongea na waandishi wa Habari mtayarishaji wa filamu hiyo Manaiki Sanga amesema kuwa sinema hiyo ilikuwa na kazi kubwa kwani hata kama mwigizaji angetaka kuigiza bure shughuli ilikuwa kuwahudumia mahitaji yao kwani ni mastaa wenye mahitaji makubwa katika maisha yao.
“Nashukru Mungu kwa kuniwezesha kufikia ndoto zangu kila siku nilikuwa natamani kufanya kitu cha kipekee katika tasnia ya filamu na nimeweza kuwashirikisha wasanii nyota wote ,”
“Nimetumia fedha nyingi sana lakini lengo ni kuwa tofauti na wenzangu katika utayarishaji ilikuwa ni kazi ngumu katika kuwapata na kuwashirikisha, namshukru sana Lamata Director wangu,”anasema Manaiki.

Filamu hiyo ambayo ipo tayari inatarajia kutoka mwezi wa nane mwaka huu imewashirikisha wasanii kama Kajala Masanja, Amri Athuman ‘King Majuto’, Hemed Suleiman, Irene Uwoya, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’, Tausi Mdegela, Yusuf Mlela, Manaiki Sanga, Chuchu Hans, Mutrah, Asha Boko na nyota wanaofanya vizuri katika filamu Bongo Movie.
Sinema hiyo ambayo inaleta mapinduzi katika tasnia ya filamu Bongo itasambazwa na kampuni ya usambazaji wa filamu za kibongo ya Steps Entertainment nchi nzima na kuona jinsi wasanii walivyoshindana humo na kuinogesha filamu hiyo.
FC

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top