Msemaji
Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Assah Mwambene amekanusha taarifa
zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu Rais Mstaafu, Benjamin
Mkapa kuwa amefariki Dunia.
Akizungunza
na waandishi wa habari katika ukumbi wa Habari Maelezo jijini Dar es
Salaam, Mwambene amesema Rais Mkapa yupo salama na mzima wa afya na
hakuna maradhi yoyote yanayomsumbua.
Mwambene
amewaasa watumiaji wa mitandao mbalimbali hasa Blogs kuacha kuitumia
mitandao hiyo kwa kupotosha umma na kuandika nambo yasiyo na ukweli ili
kuepusha mifumuko ya habari za upotishaji.
“Si jambo jema na wanaofanya hivyo waache mara moja kabla ya hatua stahiki hazijachukuliwa,” amesema Mwambene.
Amesema kuwa jambo la kumzushia mtu kifo si jambo zuri ambalo amelizungumza kama ‘uchuro’ kwa mtu husika na kumtabiria mabaya.
“Mkapa
yupo hai na kesho pia atakuwepo katika sherehe za kumuapisha Rais
mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli,” amesema Mwmbene na kuongeza.
Serikali
italishughulikia hili na tayari imeshaanza kukamata baadhi ya watu
mbalimbali ambao wanatoa taarifa za uongo zinazopelekea umma kupotoka.
Amesema
kuwa vyombo vya habari vifanye kazi kwa uweredi ili kazi ya uandishi
wao iwe ya usawa na kufuata misingi ya uandishi, jambo ambalo wengi
hukiuka kutokana kutofuata weredi wa kazi zao.
~Mpekuzi blog
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
HABARI
on Wednesday, 4 November 2015
Post a Comment